Saturday, March 25, 2006
ARUSI-SAME SECONDARY SCHOOL HALL
Bw Daniel Mnzzava na mkewe Bi Huruma waliingia na kusindikizwa na tarumbeta zahapo kanisa la KKKT dayosisi ya Same...Wapare wakisubiri kwa hamu kubwa kushuhudia kazi nzuri ya Mwana wa Mshikemshike( wanamuita Mc wa Bongo ).Bila ya ajizi nae kwa kushirikiana na Dj mdogo kabisa wakawapa uhondo wa kipare na vionjo vya kiafrika na kidhungu ati! wakawarusha vilivyo na kubaki kuwa gumzo katika anga zile za wadidu!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment