Sunday, April 8, 2007

ARUSI - USHIRIKA MOSHI

Ilikuwa ni shangwe na vigelegele pale Bw Elieza Msuya akiwa anaingia ndani ya ukumbi wa Chuo Cha Ushirika mjini Moshi huku kamshikilia mkewe,Bi Elizabeth,kana kwamba kuna mtu atamuiba!!
Ukumbi ukiwa umepambwa na mpambaji maarufu mjini Moshi-Mama Dear,huku burudani ya mziki iktoka bila kubughudhi maskio ya waalikwa ikiletwa na Dj Athumani mwenye makao yake apo Stand ya mabasi.
Mwana wa Mshikemshike kutoka jijini Daaaar es salaam akiunguruma kwa sauti yake adimu na vipande vya vijimaneno flani ivi vya apa napale yaaani ilikuwa ni burudani tosha kabisa!

No comments: