Friday, December 14, 2007


Maisha kweli ni kama maua!
Tukiwa na furaha zetu hapo ndani ya UDSM uku tukiwaza jinsi ya kutoka na uhondo wa Rugemarila(now The Prof)......
Hakuna aliyekuwa akiamini kuwa siku moja mwenzetu Bi Neema,angetuacha!
MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI..
Hata hivyo,gurudumu linaendelea;watano kati ya kundi hilo ni wanafunzi wa shahada ya uzamili katika fani mbalimbali...
Tusongeshe wanangu...kulima wengine hatuwezi!

No comments: