Sunday, April 8, 2007

HARUSI-MOROGORO HOTEL

Ikiwa ni mara ya kwanza kwa Mwana wa Mshikemshike kwa mwaka 2006 kutua Mji kasoro bahari na kuibukia Morogoro Hotel kuendesha shughuli iloandaliwa na ikaandalika ya Bw na Bi Cathbert Chilongani!
''....tunapotaka sisi ni hapo tuuuu...''
wangoni wakijimwayamwaya na vionjo vya nyumbani na kupiga vigelegele na huku viti vyao vikionekana havina kazi kwani kila mda walionekana wakiruka vilivyo hapokwa ukumbi na huku Mc akiwapa uhondo wa kutosha na kuifanya sherehe kuwa kweli ka wahenga wanavyosema ''...upele umemkuta mkunaji...''

No comments: