Tuesday, June 5, 2007

Juni 16 Ndo hiyoooooo!!


Ushawahi kuona mganga akajiganga!

Mbado!

Ushawahi kuona kinyozi anajinyoa tena ndani ya daladala!

Basi hayo ndo mambo ya Jun 16 pale ambapo McNdimbo almaarufu Mwana wa Mshikemshike atakapokua mbele ya altare pale CCT Chamlaincy-UDSM akiatamka kwa lugha ya kikwao

''...Yes I do...'' Huku kimwana wake alobarikiwa na Mwenyeeezi Mungu,mtoto mwenye mvuto na tabasamu la asili akinyoosha kidole chake cha mkono wa kushoto na kuvikwa ile golden wedding ring!

Wajua kitachofuata? ni vigelegele na makofi na vifijo na nderemo na ......

kutoka Mbeya na Arusha na Singida na Dodoma na Songea na Bukoba na Mwanza na hapahapa jijini af vya ziada kutoka kule USA

Ni burudani ya kutosha sasa itakayofuatia pale Sinza Kijiweni kwa Vatcan City Hall na hao waburudishaji wa kutosha wakihakikisha kuwa Mc alobobea katika fani ''Mwana wa Mshikemshike akitabasam mda wote mithili ya Mkandamizaji Ng'wanawane!!!

Kosa Uchekwe!!

No comments: